Search the WhatsAd Community Intelligence index of WhatsApp groups to find the best ones.
1 result in the WhatsAd group index
Verified invite link, member details and advertising options on WhatsAd.
Jina la Kundi: Wazalendo Halisi Sheria za Kundi 1. Heshima Kwanza – Hakuna matusi wala kejeli kwa mwanakundi yeyote. 2. Lugha ya Staha – Tumie Kiswahili fasaha na maneno ya kujenga. 3. Ujumbe Uwe wa Msingi – Epuka kusambaza habari zisizothibitishwa au zisizo na uhusiano na malengo ya kundi. 4. Maoni Yote Yanathaminiwa – Tofauti za mawazo ni ruksa, mradi tu yasielekee kwenye matusi au ugomvi. 5. Epuka Siasa Kali – Tujikite katika mazungumzo yenye tija na siyo yenye kuibua migawanyiko. 6. Usambazaji wa Taarifa Muhimu – Tuwe tunatumia kundi hili kupeana taarifa muhimu na maoni ya kujenga kuhusu kundi letu na shughuli zake. 7. Kusambaza Ratiba na Mipango – Kundi hili litakuwa sehemu rasmi ya kupanga, kushirikiana, na kujulishana kuhusu shughuli zetu. 8. Wasiliana kwa Hekima – Kila mmoja ana haki ya kuzungumza, tusikilizane.
Bonjour famille tunashukuru sana kwa kufungula iyi group. Fata admin inbox ili uluhusiwe kuwekwa mukundi letu la Wazalendo Halisi 2. *SHERIA ZA GROUPE LETU* *1. Heshima ni ya lazima* Hakuna kutukana, kubeza ao kusema maneno mabaya. *2. Heshimu lengo ya groupe* Tuma ujumbe wenye unaendana na mambo ya groupe. *3. Kataza pub na spam* Usitumie matangazo ao ujumbe za mingi bila ruhusa ya admins. *4. Tumia lugha ya heshima* Andika vizuri na kwa njia ya kueleweka na kila mutu. *5. Linda maisha ya siri ya watu* Usipost vitu za binafsi bila kukubaliwa na mwenyewe. *6.Epuka ujumbe za bure* Punguza “Bonjour”, emojis mingi ao maneno ya bure. *7. Heshimu muda ya wengine* Epuka kutuma message usiku sana kama si ya maana. *8. Hakuna malumbano ndani ya groupe* Kama kuna tatizo, malizana privé. *9. Heshimu admins* Fuata maamuzi yao bila ubishi. *10. Adhabu kwa kuvunja sheria* Onyo → kufutwa message → kutolewa ndani ya groupe.
SOYEZ LES BIENVENUS ET SURTOUT RESPECTER LES RÈGLES DU JEU DE NOTRE FORUM AU CAS CONTRAIRE ON VA VOUS METTRE DEHORS SANS EXCUSE ,ICI C'EST LA FAMILLE DES CONGOLAIS SANS DISCRIMINATION DE TRIBU, DE RACE, NI DE LANGUES .LE RESPECT MUTUEL ET L'AMOUR DU️ PROCHAIN, SINON EN CAS DE DÉRAPAGE ON VA TE FAIRE PARTIR HORS ÉTAT DE NUIRE.🇨🇩🇨🇩🇨🇩 RESPECT À TOUS (L'HOMME D'ÉTAT 🇨🇩💪✍️✍️)
An x XD d SSD dzlf dbay ßs3